• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

UPATIKANAJI WA MAJI MJI MDOGO WA LOLIONDO KUFIKIA ASILIMIA 85.

Posted on: January 21st, 2025

Mji mdogo wa Loliondo pamoja na vijiji jirani, ikiwemo Lopoluni na Oldonyowasi, vinakaribia kushuhudia maboresho makubwa ya upatikanaji wa maji safi kufuatia ujenzi wa tenki la maji lenye ujazo wa lita 300,000 na mtandao wa mabomba wenye urefu wa zaidi ya kilomita 30. Mradi huu umefikia hatua muhimu ya maendeleo na unatarajiwa kuboresha upatikanaji wa maji safi kwa zaidi ya asilimia 85 kwa wakazi wa maeneo haya.


Kwa mujibu wa Mhandisi Gerald Andrew, Meneja wa Wakala wa Usambazaji wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Wilaya ya Ngorongoro, mradi huo umefikia asilimia 90 ya utekelezaji. Akizungumza wakati wa ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi huo, Mhandisi Gerald alisisitiza kuwa mradi huu unalenga kutatua changamoto za muda mrefu za upungufu wa maji safi, hali ambayo kwa miaka mingi imeathiri maisha ya wakazi wa Loliondo na vijiji jirani.


Mradi huu unatekelezwa kwa ushirikiano wa serikali ya awamu ya sita na wadau wa maendeleo kutoka Falme za Kiarabu na unatarajiwa kuanza kutumika rasmi mara baada ya kukamilika kwake. Kukamilika kwa mradi huu kunatarajiwa kuleta ahueni kubwa kwa wananchi kwa kuhakikisha upatikanaji wa maji safi na salama karibu na makazi yao.


Wananchi wa Loliondo na vijiji jirani watakua wanufaika na huduma za maji safi zitakazosaidia kuboresha maisha yao ya kila siku. Hii ni sehemu ya jitihada za serikali kuhakikisha huduma muhimu za kijamii zinawafikia wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • DED NGORONGORO AWAONGOZA WATUMISHI KSHIRIKI ZOEZI LA USAFI HOSPITALI YA WILAYA

    August 13, 2025
  • MAFUNZO YA SIKU 3 KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA NGORONGORO.

    August 05, 2025
  • JIFUNZE MBINU ZA KILIMO BORO KWENYE BANDA LA KILIMO LA HALMASHAURI YA WILAYA NGORONGORO MAONESHO YA NANE NANE 2025

    August 03, 2025
  • WANAFUNZI SHULE YA MSINGI MAIROWA WANUFAIKA NA KILIMO CHA BUSTANI YA MBOGA MBOGA.

    July 31, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.