• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

UZINDUZI WA KATIBA YA VIKUNDI 20 VYA MTANDAO WA WAJANE KATA YA MALAMBO

Posted on: November 27th, 2018

Ngorongoro,     Arusha

Jumanne 27,November 2018


 Mheshimiwa Rashid Mfaume Taka Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro ameongoza viongozi wa mtandao wa wajane Tanzania(Mkurugenzi wa mtandao wa wajane Taifa mama Rose Sarwat ) pamoja na viongozi mbalimbali wa mtandao huo wilayani Ngorongoro bila kumsahau  Afisa maendeleo ya jamii  Ndugu Thomas Nade,mwakilishi Baraza la Vijana wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha Ndugu Elizabeth Gibaseya ,watendaji,waratibu Elimu na viongozi wa mila na wananchi katika uzinduzi wa katiba ya vikundi 20 vya mtandao wa wajane Kata ya Malambo na kuwapatia vyeti,kuzindua kibao cha mtandao wa wajane lakini pia amefanikiwa kuendesha harambee ndogo kwa ajili ya kina mama hao ambapo kiasi cha shilingi za kitanzania laki tisa zilipatikana

Wajane wana haki sawa na watu wengine hivyo wanahitaji kutambuliwa na serikali,vyama vya kisiasa na kila mdau wa maendeleo ndani ya jamii ili waweze kufikia malengo yao likiwemo jukumu zito la kulea familia ambazo wameachiwa na wenza wao ambao wametangulia mbele ya haki.

Imetolewa na 

Kitengo cha habari na Uhusiano 

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mh.Rashid Mfaume Taka akikabidhi katiba kwa moja ya viongozi wa vikundi vya mtandao wa wajane kata ya Malambo

Afisa Maendeleo ya Jamii Bw.Thomas Nade akishirikiana na Elizabeth Gibaseya wakihesabu fedha zilizochangwa baada ya harambee kuendeshwa katika uzinduzi wa katiba ya vikundi 20 vya mtandao wa wajane kata ya Malambo

kikundi cha ngoma kikitumbuiza wakati wa uzinduzi katiba ya vikundi 20 vya mtandao wa wajane


Mwenyekiti wa Kijiji cha Malambo akikabidhi mchango wake katika harambee iliyoendeshwa kuwachangia mtandao wa akinamama wajane kata ya Malambo


Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro akizindua kibao cha mtandao wa wajane katika kata ya malambo

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.