• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

VIONGOZI MKOA WA ARUSHA WAASWA

Posted on: August 14th, 2023

 


Waziri wa nchi  Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Angela Kairuki ameipongeza Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha  kwa kuratibu kikao kazi (Retreat) kwa viongozi na watendaji wa Mkoa wa Arusha nakuwataka wakitoka katika kikao hicho wawe kitu kimoja.


Waziri Kairuki ameyasema hayo alipokuwa akifungua kikao kazi hicho kilichofanyika Wilayani Karatu.


Amesema kikao hicho kitawasaidia kujifunza zaidi mifumo iliyopo katika Serikali ili wawezi kuisimamia vizuri na kuitumia kwa ufanisi zaidi.


Pia, amewataka viongozi na watendaji ngazi ya Wilaya na Halmashauri kuelezea miradi inayotekelezwa na Serikali kwa wananchi huku wakiwashirikisha ili waweze kuwa na ufahamu zaidi.


Mhe. Kairuki amewataka Wakuu wa Wilaya kuongeza kasi ya kusikiliza kero za wananchi hasa kwa kuanzisha kliniki zinazotembea mtaa kwa mtaa ili na kutatua kero hizo.


Vilevile, amezitaka halmashauri za Mkoa wa Arusha kubaini vyanzo mbalimbali vya mapato nakuviwekea mikakati yaukusanyaji kwa wakati wote.


Akizungumza katika kikao hicho, Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amesema lengo kubwa la Kikao hicho ni kuwa na uwelewa wa pamoja na kujipanga kama timu kutekeleza malengo ya Mkoa.


Mongella amesema kikao hicho kitaleta mabadiliko makubwa kwa viongozi hao na watendaji katika utendaji wao wa kazi nakuleta ufanisi mkubwa.


Kwa upande wake, Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Missaile Musa amesema kikao hicho kitawasaidia viongozi na watendaji kutoendelea kufanyakazi kwa mazoea.


Akizungumzia mafanikio ya Wilaya ya Karatu Mkuu wa Wilaya hiyo Horace Kolimba amesema Serikali imeweza kukuza uchumi wa Wilaya hiyo kupitia utalii ambapo watalii waliopokelea ni takribani 142,000 na kuingiza pato  bilioni 27.


Kikao kazi hicho kimejumuisha Viongozi wa Mkoa, Wilaya,Halmashauri na taasisi za Serikali na mada mbalimbali zitawasilishwa ikiwemo matumizi ya teknolojia ya TEHEMA na tathimini ya utendaji kazi kwa mwaka 2022/2023.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.