• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

WAJASIRIAMALI ARUSHA WAHIMIZWA KUCHANGAMKIA FURSA YA MIKOPO ISIYOKUWA NA RIBA INAYOTOLEWA NA SERIKALI.

Posted on: July 23rd, 2025

Wananchi wajasiriamali kupitia makundi wanawake, vijana na wenye ulemavu wamehimizwa kuchangamkia fursa na kuchukua mikopo isiyokuwa na riba, inayotolewa na Serikali kupitia asilimia 10 za mapato ya ndani ya halmashauri zao.


Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe.Kenani Laban Kihongosi alipokutana na wakazi wa Arusha kwa makundi ya wafanyakazi na wamiliki wa saluni pamoja na kundi la waendesha bodabodada, bajaji na maguta, Jijini Arusha Julai 22,2025.


Mhe.Kihongosi amesema kuwa, Serikali imetoa fursa hiyo ili kuwawezesha wananchi wajasiriamali wasio na uwezo na sifa za kukopesheka kwenye taasisi nyingine za kifedha ili waweze kukuza mitaji yao ya biashara sambamba na  kujikwamua kikuchumi hivyo ni wakati wao wa kuchangamkia fursa hiyo.


Ametoa mfano wa Halmashauri ya Jiji la Arusha ambalo tayari lina shilingi Bilioni 5.5 kwa ajili ya kuwakopesha wajasiriamali wenye sifa kwa makundi hayo na kuwasisitiza kujiunga kwenye vikundi na kwenda kupata fedha hizo ambazo Serikali imetenge kwa ajili yao.


"Jamani ndugu zangu msiogope, hapa Jiji la Arusha kuna shilingi Bilioni 5.5, tumieni fursa hii adhimu, nendeni mkakope fedha  zisizo na riba, fedha ambazo masharti yake sio magumu kama ilivyo kwa Taasisi za kifedha, fuateni taratibu mpate fedha zipo kwa ajili yenu" Ameweka wazi Mhe.Kihongosi


Hata hivyo, amewasisitiza wajasiriamali hao, kufanya biashara zao huku wakiwa na malengo ya maendeleo na sio kutumia pesa zao vibaya na kuishia kwenye majuto na kulalamika, kwa kuwa unapoweza kutunza kidogo unachopata ni rahisi kijifanyia shughuli za maendeleo kutokana na kidogo kinachopatikana.


"Pesa unayopata hakikisha unaipangilia na kuitumia vizuri, hakuna pesa ndogo, hicho hicho kidogo kipangilie na kukitumia vizuri, wenye mafanikio huanzia chini, kama vijana msitamani maisha ya wengine, riziki unayoipata ndio Mungu amekupangia jipange kupambana na maisha kwa fedhq hiyo unayoipata kupitia biashara yako hiyo hiyo unayoiita ndogo" Ameshuri Mhe. Kihongosi.


Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • KIKAO CHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA LISHE NGAZI YA HALMASHAURI KIPINDI MWEZI APRILI HADI JUNI 2025.

    July 25, 2025
  • WAJASIRIAMALI ARUSHA WAHIMIZWA KUCHANGAMKIA FURSA YA MIKOPO ISIYOKUWA NA RIBA INAYOTOLEWA NA SERIKALI.

    July 23, 2025
  • RC KIHONGOSI AKABIDHIWA OFISI RASMI.

    June 30, 2025
  • RC KIHONGOSI AWASILI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.