• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

WANAFUNZI SHULE YA MSINGI MAIROWA WANUFAIKA NA KILIMO CHA BUSTANI YA MBOGA MBOGA.

Posted on: July 31st, 2025

Shule ya Msingi Mairowa iliyopo wilayani Ngorongoro imeendelea kuwa mfano wa kuigwa katika utekelezaji wa afua za lishe bora kwa wanafunzi. Shule hii ni miongoni mwa taasisi zilizopiga hatua kubwa katika kuhimiza na kuboresha afya ya wanafunzi kupitia ulimaji wa bustani za mboga na matunda kama njia ya kuongeza upatikanaji wa lishe bora shuleni.

Tathmini hiyo imefanyika baada ya Katibu Tawala Hamza H. Hamza Wilaya kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mhe. kufanya ziara ya uhamasishaji katika shule hiyo tarehe 25 Julai 2025. Ziara hiyo iliambatana na Mganga Mkuu wa Wilaya, Dkt. Libori Tarimo, pamoja na Maafisa Lishe wa Wilaya, kwa lengo la kufuatilia maendeleo ya utekelezaji wa mikakati ya lishe kwa wanafunzi katika mazingira ya shule.

Katika ziara hiyo, Mhe. Hamza alisisitiza kuwa kila shule wilayani Ngorongoro inapaswa kuwa na bustani ya mbogamboga kama njia ya kuhakikisha wanafunzi wanapata lishe bora. Aidha, alimtaka Mganga Mkuu wa Wilaya kuhakikisha kitengo cha lishe kinasimamia kwa karibu utekelezaji wa mpango huo ili kufanikisha lengo la kuwajengea watoto afya bora ya mwili na akili.

Mwanafunzi Lesiata wa darasa la saba katika shule hiyo alieleza kuwa uwepo wa bustani ya mboga shuleni umeleta manufaa makubwa kwao, ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa chakula chenye virutubisho muhimu. “Kupitia bustani hii tumepata maji ya kutosha na tunapata chakula chenye mchanganyiko wa mboga hapa hapa shuleni,” alisema kwa furaha mbele ya viongozi wa Wilaya.

Afisa Lishe wa Wilaya ya Ngorongoro, Bi. Mariamu Ibrahim, alieleza kuwa mbogamboga zina vitamini nyingi ambazo husaidia kuimarisha kinga ya mwili, kuongeza damu, na kupunguza hatari ya maradhi ya mara kwa mara kwa wanafunzi. Aliongeza kuwa lishe bora huongeza uwezo wa watoto kujifunza kwa ufanisi na kuboresha mahudhurio shuleni.

Utekelezaji wa mpango huu wa bustani za lishe mashuleni ni sehemu ya mkakati wa Wilaya ya Ngorongoro wa kuhakikisha watoto wanapata mazingira bora ya kujifunza kwa afya njema. Halmashauri inaendelea kuhamasisha shule nyingine kuiga mfano wa Shule ya Msingi Mairowa ili kuhakikisha kila mtoto anapata lishe bora katika mazingira ya shule.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • DED NGORONGORO AWAONGOZA WATUMISHI KSHIRIKI ZOEZI LA USAFI HOSPITALI YA WILAYA

    August 13, 2025
  • MAFUNZO YA SIKU 3 KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA NGORONGORO.

    August 05, 2025
  • JIFUNZE MBINU ZA KILIMO BORO KWENYE BANDA LA KILIMO LA HALMASHAURI YA WILAYA NGORONGORO MAONESHO YA NANE NANE 2025

    August 03, 2025
  • WANAFUNZI SHULE YA MSINGI MAIROWA WANUFAIKA NA KILIMO CHA BUSTANI YA MBOGA MBOGA.

    July 31, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.