• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

WAWEZESHAJI WA TASAF KATIKA HALMASHAURI YA NGORONGORO WAJENGEWA UWEZO KUTOA ELIMU KATIKA VIKUNDI.

Posted on: June 26th, 2019

WAWEZESHAJI WA TASAF KATIKA HALMASHAURI YA NGORONGORO WAJENGEWA UWEZO KUTOA ELIMU KATIKA VIKUNDI

Kaimu Mkurugenzi Mtendajiwa wa Halmashauri ya Ngorongoro,Ndg Peter Juma amewataka wawezeshaji wa mfuko wa kunusuru kaya maskini (TASAF) katika Halmashuri hiyo kutumia vyema mafunzo wanayopewa ya utunzaji wa kumbukumbu na fedha kuvifundisha vikundi vya wananchi wanaofadhiliwa TASAF ili waweze kujiinua kiuchumi kutumia kupitia  fedha wanazopewa katika kubuni na kuanzisha miradi ya uzalishajimali.

Amesema hayo  wakati wa  ufunguzi wa mafunzo ya siku 5 ya kuwajengea uwezo wawezeshaji wa TASAF Ngazi ya Wilaya na Kata katika Halmashauri hiyo ambapo amewataka kutumia   mafunzo hayo kama chachu ya kwenda kutoa elimu katika vikundi vya jamii husika vinavyo toka  katika kaya maskini ili viweze kuongeza kipato na kupiga hatua kiuchumi.

Mtaalamu wa Mafunzo na Ushirikishwaji kutoka TASAF Makao makuu,Ndg.Rashid Mchata  amesema wawezeshaji kwenye Halmashuri zote  nchini wamechangia kwa kiasi kikubwa katika utekelezaji wa TASAF kuwa rahisi ,hivyo ametoa rai kwao kutumia mafunzo hayo kuisaidia jamii kujua kutunza kumbukumbu na kuweka akiba kwa lengo la kujikwamua kutoka hali duni.

Mratibu wa TASAF katika Halmashuri  hiyo Zablon Kitandu amesema vijiji 31 kati 72 vya Halmashauri hiyo vipo katika mpango wa kunusuru kaya masikini vyenye  jumla ya vikundi 221 .vyenye wanachama 2931 kati yao wanawake ni 2898 vimeundwa na vinajiendesha ..

Aidha Zablon  amesema vikundi hivyo vinajiendesha vyenyewe na vimeshapewa shajala mbalimbali likiwemo daftari la kutunza kumbukumbu na sanduku la kuhifadhia nyaraka mbalimbali  vikundi hivyo vinahitaji mafuzo ili viboreshe utendaji .

Baadhi ya wawezeshaji wanaopata mafunzo hayo Godwine Mtune,Merry Mhando wamesema kuwa mafunzo hayo yatawasaidia katika kuwajengea uwezo wa kwenda kuwafundisha wanavikundi walioko katika maeneo yao kutumia fedha wanazopata kujikwamua katika umaskini.

Mafunzo hayo ya TASAF ambayo yanafanyika katika mikoa miwili tu Nchini ,ambapo kwa  mkoa wa Njombe yamekamilika na kwa Mkoa wa Arusha  Arusha yanaendelea,na kwa Halmashauri ya Ngorongoro  yanafanyika  katika kumbi za Halmashauri .

Bw.ALLEN MWAMBOLA mshiriki katika mafunzo akiwa makini kumsilizia mwezeshaji

Mwezeshaji kutoka makao makuu Bw.Rahid Mchata akitoa mafunzo kwa wawezeshaji ngazi ya wilaya na kata

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.