• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

ZIARA YA MH.WILLIAM T. OLENASHA (MB)NAIBU WAZIRI WA ELIMU SAYANSI NA TEKINOLOJIA KATA YA OLOLOSOKWAN NA SOITSAMBU.

Posted on: October 19th, 2018

ZIARA YA MH.WILLIAM T. OLENASHA (MB)NAIBU WAZIRI WA ELIMU SAYANSI NA TEKINOLOJIA KATA  YA OLOLOSOKWAN NA SOITSAMBU

Katika ziara yake siku ya pili  allitembelea  shule ya sekondari soitsambu, shule ya msingi Ololosokwani, shule ya sekondari Emanyata na kuhitimisha na mkutano mkubwa katika kujiji cha Soitsambu

Kuzindua 

Alizindua miradi wa madarasa matatu katika shule ya sekondari Soitsambu, mradi wa bweni katika shule ya msingi Ololosokwani  nyumba moja ya 6 in one inayojengwa katika zahanati  ya Ololosokwan kugawa vyeti katika mahafali  ya 18 ya Emanyata sekondari na kuhitimisha ziara yake katika kijiji cha Soitsambu

Aliwataka wanafunzi kusoma kwa bidii na wale wa kidato cha nne  wasibweteke kwani  ni mwanzo tu hivyo wapambane kujiendeleza zaidi.

Ahadi

Katika shule ya sekondari Soitsambu aliahidi nyumba moja ya 6 in one  na Olosokwani shule ya msingi aliahidi bweni la wavulana litakalokuwa na uwezo wa kulala wanafunzi 80 ambapo  aliwataka wazazi wa kijiji cha Ololosokwan wachangie asilimia ishirini (20%), katika zahanati ya Ololosokwan kwenye ujenzi wa nyumba ya watumishi  inayojengwa  6 in one  aliahidi million 15 ambazo atazitoa katika awamu mbili.

Akihitimisha katika kijiji cha Soitsambu aliwataka wananchi kujitolea katika kufanya shughuli za maendeleo

Katika shule ya Sekondari Soitisambu Mh.William Tate Olenasha (MB)Naibu waziri wa Elimu Sayansi na Tekinolojia akimbatana na viongozi wengine wa Chama cha Mapinduzi  akifungua jengo la darasa

Akiwa katika picha ya Pamoja na waalimu wa shule ya sekondari Soitsambu

Katika shule ya msingi Ololosokwan Mh.William Tate Olenasha (MB)Naibu waziri wa Elimu Sayansi na Tekinolojia alifurahi kwa kuimba na wanafunzi wa shule ya Msingi Ololosokwan


Katika zahanati ya  Ololosokwan Mh.William Tate Olenasha (MB)Naibu waziri wa Elimu Sayansi na Tekinolojia aliweka jiwe la msingi katika ujenzi wa nyumba ya watumishi 6 in 1

Mh Yanick Ndoinyo akizungumza jambo na Mh.William Tate Olenasha (MB)Naibu waziri wa Elimu Sayansi na Tekinolojia alipowasili katika kata ya Ololosokwan

Mh.William Tate Olenasha (MB)Naibu waziri wa Elimu Sayansi na Tekinolojia akigawa vyeti kwa wahitimu wa kidato cha nne shule ya Sekondari Emanyata

Mh.William Tate Olenasha (MB)Naibu waziri wa Elimu Sayansi na Tekinolojia akifungua jengo la bweni la wasichana katika shule ya msingi Ololosokwan


Katika kata ya Ololosokwan Mh.William Tate Olenasha (MB)Naibu waziri wa Elimu Sayansi na Tekinolojia akizungumza na wananchi wa kata ya Ololosokwan


Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO YANG'ARA MASHINDANO YA RIADHA UMITASHUMTA MKOA 2025.

    June 03, 2025
  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI CHANJO NA DAWA KINGA ZA MAGOJWA YA MINYOO NA TRAKOMA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO.

    May 30, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPONGEZA MIRADI YA MAENDELEO ILIYOTEKELEZWA NA SERIKALI WILAYANI NGORONGORO

    May 16, 2025
  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.