• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

ZIARA YA SIKU MOJA YA PROF.ELISANTE OLE GABRIEL KATIBU MKUU WA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI

Posted on: November 1st, 2018

Katibu Mkuu wa Wizara ya  Mifugo na Uvuvi  Prof.Elisante Ole Gabriel amefanya Ziara Ya Siku Moja Katika Wilaya ya Ngorongoro. Prof.Elisante Ole Gabriel alipata nafasi ya kuzungumza na viongozi mbalimbali wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro,viongozi wa chama cha mapinduzi na Serikali katika ukumbi wa makao makuu ya NCAA. na baadae alizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Mokilali katika mkutano wa Hadhara na alipaya nafasi ya kusikiliza Kero mbali mbali za Wananchi wa kijiji hicho na vijiji vya jirani  waliokuwa wakimsubiria kwa shauku kubwa.


Prof.Elisante Ole Gabriel aliwaahidi wananchi hao kuwa yeye kama    Mtemdaji Mkuu wa Wizara amezisikia na Anakwenda Kuzifanyia Kazi na  Kuwaahidi Wananchi wa Misigiyo kuwa Serikali ya awamu ya Tano imawapenda sana  Wafugaji

Katika Ziara Hiyo Pro Ole Gabriel aliambatana na Magebe Makoye ambaye ni  katibu wa chama cha wafugaji wafugaji Tanzania na kuwataka wananchi ambao haswa wafugaji wa Ngorongoro kuomba kugombea nafasi mbalimbali za chama hicho kwani uchaguzi ni mwezi Nov 2018 ili wawe wateteze wa wafugaji wenzao

Viongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro  wakiwa katika ofisi za NCAA wakimsubiri kumpoke Prof.Elisante Ole Gabriel

Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mh.Rahid Taka wakimpokea na kusalimiana  Prof.Elisante Ole Gabriel

  Katika picha ya pamoja na Ndugu Shimba katibu wa CCM wilaya ya Ngorongoro na  Mwenyekiti wa wazazi CCM ndugu A.Karanjai

Dr.Chobi Chubwa   Mkuu wa Idara ya Mifugo na Uvuvi katika wilaya ya Ngorongoro akisoma taarifa fupi mbele ya  Prof.Elisante Ole Gabriel  Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifungo na Uvuvi

Mh Shutuk na Mh Siloma wakiwa katika picha ya pamoja

Dr.Chobi akikabidhi Taarifa kwa Prof.Elisante Ole Gabriel  Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifungo na Uvuvi

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Ndugu Raphael Siumbu  akiwasalimia wananchi wa Misigiyo

Mh.Rashid Taka Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro akisalimiana na Mbunge Mstaafu Ole Telele katika kijiji cha Misigiyo


Viongozi mbalimbali wakivishwa zawadi na wananchi wa kijiji cha Laitole Wilaya ya Ngorongoro

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO YANG'ARA MASHINDANO YA RIADHA UMITASHUMTA MKOA 2025.

    June 03, 2025
  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI CHANJO NA DAWA KINGA ZA MAGOJWA YA MINYOO NA TRAKOMA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO.

    May 30, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPONGEZA MIRADI YA MAENDELEO ILIYOTEKELEZWA NA SERIKALI WILAYANI NGORONGORO

    May 16, 2025
  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.