• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

ZOEZI LA KUOGESHA MIFUGO WILAYA YA NGORONGORO LAFANYIKA KIJIJI CHA OLOIPIRI

Posted on: December 17th, 2018

ZOEZI LA KUOGESHA MIFUGO LAFANYIKA KATIKA KIJIJI CHA OLOIPIRI

Ngorongoro , ARUSHA

 Zoezi la kuogesha mifugo kitaifa limeanza rasmi leo na Wilayani Ngorongoro katika  kata ya Oloipiri.Akizungumzia zoezi hilo Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Rafael Siumbu amesema kuwa zaidi ya asilimia 70% ya magonjwa yanayoua mifugo  ni magonjwa  ya nayosababishwa na wadudu kama kupe ,mbungo na chawa hivyo zoezi hili litasaidia sana kupunguza vifo vya mifugo.Bwana Raphael  Siumbu ameendelea  kuwasihi wafugaji wazingatie maelekezo ya madaktari na kuogesha mifugo yao mara kwa mara ili kupunguza vifo vya mifugo visivyo vya lazima vinavyompelekea mfugaji kupata hasara.

      Akizungumza na wananchi Ndugu Ally Karanjai ambaye ni Mwenyekiti wa wazazi Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Ngorongoro  amefurahishwa na zoezi hilo na kuwasihi wanachi wawe wazalendo na serikali inatekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi na kuwasihi  ni jukumu lao kusimamia na kuhakikisha mifugo wanaogeshwa ili kuepukana na magojwa yanayoletwa na kupe.

      Akizungumzia zoezi hilo Bwana Chobi Chubwa Afisa Mifugo na Uvuvi Wilaya ya Ngorongororo  Serikali imetoa Chupa 6 za ujazo wa lita moja na Robo lita na kufanya jumla ya lita 6 na robo  za dawa kwaajili ya kila josho  wa majosho 23 yanayofanya kazi na itatumika kwa muda wa miezi .Amesisistiza kuwa ngombe 2,000 wa kwanza kufika kwa kila josho  wataogeshwa bure na baada ya hapo kichwa cha ngombe kitalipiwa sh.100 na mbuzi sh 50  na fedha hizo zitakusanya na kamati maalumu ya watu watano wanaosimamia josho.Ameongeza kusema kuwa fedha hizo zinazokusanywa,  ofisi ya Mkurugenzi mtendaji itawasaidia kamati hizo za usimamizi kuwaunganisha na msambazaji wa dawa za mifugo aliyeteuliwa na Serikali ili waweze kupata dawa ili zoezi ilo liwe endelevu. Pia ameongeza kuwa hadi kufikia jana  wamefanikiwa kuogesha ngombe 3800 huku wakitegemea idadi kuongezeka zaidi kwa siku ya kesho.

      Kwa upande wa wananchi Bw Elikana Sayori mkazi wa kijiji cha Kirtalo amesema changamoto wanayokumbana nayo zaidi ni magojwa yaenezwayo na kupe lakini pia suala la malisho ya mifugo kutokuwa na mipaka,na kupelekea mwingiliano wa mifugo baina ya vijiji.Sambamba na hivyo wananchi hao wameiomba serikali kuanzisha zoezi la upimaji wa vijiji ili kubainisha mipaka na kurahisisha utaratibu wa ufugaji wenye tija na kuondoa migogoro.

Imetolewa na 

Kitengo cha Habari na Uhusiano 

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro


Bwana Chobi Chubwa Afisa Mifugo na Uvuvi  Wilaya ya Ngorongoro akitoa maelekezo yaliyotolewa na serikali baada ya kutembelea Josho la kijiji cha Soitsambu

Viongozi wa Chama cha mapinduzi wilaya ya ngorongoro Amosi Shimba (Katibu wa CCM wilaya ya Ngorongoro) na Bw. Ally Karanjai (Mwenyekiti wa wazazi wilaya ya Ngorongoro) walipotembelea josho la kijiji cha Oloipiri kujionea shughuli ya uogeshwaji wa mifugo ikiendelea na kukabidhi dawa zilizotolewa bure  na serikali  awamu ya tano kwaajili ya kuendesha zoezi hilo

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.