Posted on: June 21st, 2018
Mkuu wa mkoa wa Arusha mheshimiwa Mrisho Mashaka Gambo tarehe 21/06/2018 amehudhuria baraza maalum la hoja za mkaguzi mkuu wa serekali katika ukumbi wa halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro. Mkuu wa mko...
Posted on: April 25th, 2018
Wasichana wa Shule za Msingi na Sekondari leo tarehe 25/04/2018 wamejitokeza kwa wingi kupata chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi katika Wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha.Tukio hilo lilitokea waka...
Posted on: April 19th, 2018
Watoto wenye umri wa miaka 5 hadi 14 wilaya ya ngorongoro wameanza kupatiwa dawa za kuua na kuzuia minyoo ya tumbo (tiba kinga) tarehe 19/04/2018. Huu ni mpango wa serikali wa kuwakinga watoto na didh...